Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:6-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yesu alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ 7 mwanamke fulani aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye mafuta ghali yenye marashi akamkaribia, akaanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu alipokuwa akila.* 8 Walipoona hilo wanafunzi wakakasirika na kusema: “Hasara hii ni ya nini? 9 Kwa maana mafuta haya yangeuzwa kwa kiasi kikubwa cha pesa na kupewa maskini.”

  • Yohana 12:2-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi, wakamwandalia mlo wa jioni huko, na Martha alikuwa akiwahudumia,+ lakini Lazaro alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakila* pamoja na Yesu. 3 Kisha Maria akachukua ratili* moja ya mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana, akammiminia Yesu miguuni na kuifuta kwa nywele zake. Nyumba ikajaa harufu ya mafuta yenye marashi.+ 4 Lakini Yuda Iskariote,+ mmoja wa wanafunzi wake aliyekuwa karibu kumsaliti akasema: 5 “Kwa nini mafuta haya yenye marashi hayangeuzwa kwa dinari* 300 na maskini wapewe pesa hizo?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki