Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+

      Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+

      Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,

      Kuwatangazia mateka uhuru

      Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+

  • Mathayo 9:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yesu alipowasikia, akasema: “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.+ 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”

  • Luka 5:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Yesu akawajibu: “Watu wenye afya hawahitaji daktari, lakini wagonjwa wanamhitaji.+ 32 Sikuja kuwaita waadilifu, bali kuwahimiza watenda dhambi watubu.”+

  • Luka 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mwana wa binadamu alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.”+

  • 1 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Maneno haya ni yenye kuaminika na yanastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda dhambi.+ Kati yao, mimi ndiye wa kwanza kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki