Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+

  • Yohana 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.

  • Matendo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki