Marko 4:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Bado kuna wengine ambao wamepandwa kwenye miiba. Hawa ndio wale wanaolisikia neno,+ 19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo* na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo mengine yote huingia na kulisonga neno, nalo halizai matunda.
18 Bado kuna wengine ambao wamepandwa kwenye miiba. Hawa ndio wale wanaolisikia neno,+ 19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo* na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo mengine yote huingia na kulisonga neno, nalo halizai matunda.