Mathayo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi wanafunzi wakaja na kumuuliza: “Kwa nini unazungumza nao kwa kutumia mifano?”+ Luka 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.+