Mathayo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi wanafunzi wakaja na kumuuliza: “Kwa nini unazungumza nao kwa kutumia mifano?”+ Marko 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alipokuwa peke yake, wale waliokuwa karibu naye pamoja na wale 12 wakaanza kumuuliza kuhusu mifano hiyo.+
10 Alipokuwa peke yake, wale waliokuwa karibu naye pamoja na wale 12 wakaanza kumuuliza kuhusu mifano hiyo.+