Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 4:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Alipokuwa peke yake, wale waliokuwa karibu naye pamoja na wale 12 wakaanza kumuuliza kuhusu mifano hiyo.+ 11 Akawaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yako katika mifano,+

  • Luka 8:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.+ 10 Akawaambia: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini ninazungumza na wale wengine kwa mifano,+ ili ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasielewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki