Mathayo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+ Luka 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Jitahidini sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu ninawaambia wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza. Waroma 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wale wanaosikia sheria sio waadilifu mbele za Mungu, bali wale wanaoshika sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.
21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+
24 “Jitahidini sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu ninawaambia wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
13 Kwa maana wale wanaosikia sheria sio waadilifu mbele za Mungu, bali wale wanaoshika sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.