-
Mathayo 11:2-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Lakini Yohana akiwa jela+ alisikia mambo ambayo Kristo alikuwa akifanya, akawatuma wanafunzi wake+ 3 wamuulize: “Je, wewe ndiye Yule Anayekuja, au tumtarajie mwingine?”+ 4 Yesu akawajibu: “Nendeni mkamwambie Yohana mambo mnayosikia na kuona:+ 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ 6 Mwenye furaha ni mtu ambaye hapati ndani yangu sababu ya kukwaza.”+
-