Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:2-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Yohana akiwa jela+ alisikia mambo ambayo Kristo alikuwa akifanya, akawatuma wanafunzi wake+ 3 wamuulize: “Je, wewe ndiye Yule Anayekuja, au tumtarajie mwingine?”+ 4 Yesu akawajibu: “Nendeni mkamwambie Yohana mambo mnayosikia na kuona:+ 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ 6 Mwenye furaha ni mtu ambaye hapati ndani yangu sababu ya kukwaza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki