Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 7:18-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wanafunzi wa Yohana wakamjulisha mambo hayo yote.+ 19 Ndipo Yohana akawaita wawili kati ya wanafunzi wake akawatuma kwa Bwana wamuulize: “Je, wewe ndiye Yule Anayekuja,+ au tumtarajie mwingine?” 20 Walipofika kwa Yesu wakamwambia: “Yohana Mbatizaji alitutuma kwako tukuulize: ‘Je, wewe ndiye Yule Anayekuja au tumtarajie mwingine?’” 21 Wakati huohuo, Yesu akawaponya watu wenye magonjwa,+ maradhi hatari, na wenye roho waovu, na pia akawapa vipofu wengi zawadi ya kuona. 22 Kisha akawajibu: “Nendeni mkamwambie Yohana mambo mliyoona na kusikia. Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia,+ wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ 23 Mwenye furaha ni mtu ambaye hapati ndani yangu sababu ya kukwaza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki