Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kisha nikasema: “Tazama, nimekuja.

      Katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa kunihusu.+

  • Zaburi 118:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova;+

      Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova.

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Shangilia sana, Ee binti ya Sayuni.

      Paza sauti kwa ushindi, Ee binti ya Yerusalemu.

      Tazama! Mfalme wako anakuja kwako.+

      Yeye ni mwadilifu, analeta wokovu,*

      Ni mnyenyekevu+ na amepanda punda,

      Amepanda mwanapunda dume,* mwana wa punda jike.+

  • Mathayo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki