Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yesu alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ 7 mwanamke fulani aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye mafuta ghali yenye marashi akamkaribia, akaanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu alipokuwa akila.*

  • Marko 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alipokuwa Bethania akila* katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma, mwanamke fulani akaja na chupa ya alabasta iliyokuwa na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu.+

  • Yohana 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Maria akachukua ratili* moja ya mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana, akammiminia Yesu miguuni na kuifuta kwa nywele zake. Nyumba ikajaa harufu ya mafuta yenye marashi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki