9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
8 Pia, akawaagiza wasibebe chochote kwa ajili ya safari isipokuwa fimbo—wasibebe mkate, mfuko wa chakula, wala pesa* kwenye mishipi yao+— 9 bali wavae viatu lakini wasivae mavazi mawili.*