Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Mtakapoingia katika jiji au kijiji chochote, tafuteni humo mtu anayestahili, na mkae humo mpaka mtakapoondoka.+

  • Marko 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Pia, akawaambia: “Mtakapoingia katika nyumba yoyote, kaeni humo mpaka mtakapoondoka huko.+

  • Luka 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni: ‘Nyumba hii na iwe na amani.’+

  • Luka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi kaeni katika nyumba hiyo,+ na mle na kunywa watakachowaandalia,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msihame kutoka nyumba mpaka nyumba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki