Mathayo 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Mtakapoingia katika jiji au kijiji chochote, tafuteni humo mtu anayestahili, na mkae humo mpaka mtakapoondoka.+ Marko 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pia, akawaambia: “Mtakapoingia katika nyumba yoyote, kaeni humo mpaka mtakapoondoka huko.+ Luka 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni: ‘Nyumba hii na iwe na amani.’+ Luka 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi kaeni katika nyumba hiyo,+ na mle na kunywa watakachowaandalia,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msihame kutoka nyumba mpaka nyumba.
11 “Mtakapoingia katika jiji au kijiji chochote, tafuteni humo mtu anayestahili, na mkae humo mpaka mtakapoondoka.+
7 Basi kaeni katika nyumba hiyo,+ na mle na kunywa watakachowaandalia,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msihame kutoka nyumba mpaka nyumba.