Mathayo 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi wake 12 maagizo, akaondoka huko na kwenda kufundisha na kuhubiri katika majiji yao.+ Marko 6:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wakaondoka na kuhubiri kwamba watu wanapaswa kutubu,+ 13 pia wakafukuza roho wengi waovu+ na kuwapaka mafuta wagonjwa wengi na kuwaponya.
11 Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi wake 12 maagizo, akaondoka huko na kwenda kufundisha na kuhubiri katika majiji yao.+
12 Basi wakaondoka na kuhubiri kwamba watu wanapaswa kutubu,+ 13 pia wakafukuza roho wengi waovu+ na kuwapaka mafuta wagonjwa wengi na kuwaponya.