Mathayo 9:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Ndiyo, mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache.+ 38 Kwa hiyo, mwombeni Bwana wa mavuno awatume wafanyakazi katika mavuno yake.”+ 1 Wakorintho 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa, jengo la Mungu.+ 2 Wathesalonike 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu,+ ili neno la Yehova* lizidi kuenea upesi+ na kutukuzwa, kama ilivyo kwenu,
37 Ndipo akawaambia wanafunzi wake: “Ndiyo, mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache.+ 38 Kwa hiyo, mwombeni Bwana wa mavuno awatume wafanyakazi katika mavuno yake.”+
9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa, jengo la Mungu.+
3 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu,+ ili neno la Yehova* lizidi kuenea upesi+ na kutukuzwa, kama ilivyo kwenu,