Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama Baba yenu alivyo mwenye rehema.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+
32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+