8 “Lakini wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+
Wewe niliyekuchagua, Ee Yakobo,+
Uzao wa rafiki yangu Abrahamu,+
9 Wewe, niliyekuchukua kutoka kwenye miisho ya dunia,+
Na wewe, niliyekuita kutoka sehemu zake za mbali zaidi.
Nilikuambia, ‘Wewe ni mtumishi wangu;+
Nimekuchagua wewe; sijakukataa.+