Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Yeremia 33:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Yehova anasema hivi: ‘Kwa hakika kama nilivyoweka imara agano langu kuhusu mchana na usiku,+ sheria za* mbingu na dunia,+ 26 vivyo hivyo sitaukataa kamwe uzao wa* Yakobo na wa mtumishi wangu Daudi, hivi kwamba nisichukue kutoka kwa uzao wake* watawala wa wazao wa* Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawakusanya mateka wao+ na kuwahurumia.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki