-
Mathayo 23:23, 24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnatoa sehemu ya kumi ya mnanaa na dili na bizari,+ lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki,+ rehema,+ na uaminifu. Mlipaswa kufanya mambo hayo, bila kupuuza yale mengine.+ 24 Viongozi vipofu,+ ambao huchuja mbu+ lakini hummeza ngamia!+
-