Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia watu Ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi wenyewe hamwingii, na mnawazuia wale wanaotaka kuingia.+

  • 1 Wathesalonike 2:14-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana, akina ndugu mliiga makutaniko ya Mungu yaliyo katika muungano na Kristo Yesu huko Yudea, kwa sababu mliteswa na wananchi wenzenu,+ kama vile wao pia wanavyoteswa na Wayahudi, 15 ambao hata walimuua Bwana Yesu+ na manabii na wakatutesa.+ Zaidi ya hayo, hawafanyi mambo yanayompendeza Mungu, na wanapinga mambo yanayowafaa wanadamu wote, 16 wakijaribu kutuzuia kuzungumza na watu wa mataifa ili waokolewe.+ Kwa hiyo, sikuzote wanajaza kipimo cha dhambi zao. Lakini hatimaye hasira yake imekuja juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki