Luka 11:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi. Ninyi hamkuingia, na mnawazuia wale wanaoingia!”+ Matendo 13:49, 50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Zaidi ya hayo, neno la Yehova* lilikuwa likienezwa katika nchi yote. 50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake mashuhuri waliomwogopa Mungu, na wakuu wa jiji, nao wakaanza kuwatesa+ Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.
52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi. Ninyi hamkuingia, na mnawazuia wale wanaoingia!”+
49 Zaidi ya hayo, neno la Yehova* lilikuwa likienezwa katika nchi yote. 50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake mashuhuri waliomwogopa Mungu, na wakuu wa jiji, nao wakaanza kuwatesa+ Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.