25 Basi akawaambia: “Enyi wasio na akili na wagumu kuamini mambo yote yaliyosemwa na manabii! 26 Je, haikuwa lazima Kristo kupatwa na mateso haya+ kisha aingie kwenye utukufu wake?”+ 27 Naye akawafafanulia kuanzia Musa na Manabii wote,+ mambo yote ambayo Maandiko yalisema kumhusu.