Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Hii ndiyo sheria inayomhusu mtu mwenye ukoma ambayo inapaswa kufuatwa siku ambayo utakaso wake unathibitishwa, anapopelekwa kwa kuhani.+ 3 Kuhani atatoka nje ya kambi na kumchunguza. Ikiwa mtu mwenye ukoma amepona, 4 kuhani atamwamuru alete ndege safi wawili walio hai, tawi la mwerezi, kitambaa cha rangi nyekundu, na tawi la hisopo ili atakaswe.+

  • Kumbukumbu la Torati 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ikiwa ugonjwa wa ukoma* umetokea na kuenea, muwe waangalifu sana kufanya mambo yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza mfanye.+ Muwe waangalifu kufanya kama tu nilivyowaamuru.

  • Mathayo 8:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaunyoosha mkono wake, akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.”+ Mara moja ukoma wake ukatakasika.+ 4 Kisha Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza,+ ili kuwa ushahidi kwao.”

  • Luka 5:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.” Mara moja ule ukoma ukaisha.+ 14 Kisha akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote: “Bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, kisha utoe toleo la kutakaswa kwako, kama alivyoagiza Musa,+ ili kuwa ushahidi kwao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki