29 Yesu akawajibu: “Ninyi mmekosea, kwa sababu hamjui Maandiko wala nguvu za Mungu;+30 kwa maana katika ufufuo, wanaume hawaoi, wala wanawake hawaolewi, bali wao ni kama malaika mbinguni.+
24 Yesu akawaambia: “Ninyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko wala nguvu za Mungu.+25 Kwa maana wanapofufuliwa kutoka kwa wafu, wanaume hawaoi wala wanawake hawaolewi, bali wao ni kama malaika mbinguni.+