Mathayo 27:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake mashtaka dhidi yake, yalikuwa yameandikwa: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+ Marko 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na maandishi ya mashtaka dhidi yake yalikuwa yameandikwa: “Mfalme wa Wayahudi.”+ Yohana 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso.* Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+
37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake mashtaka dhidi yake, yalikuwa yameandikwa: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+
19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso.* Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+