Marko 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na maandishi ya mashtaka dhidi yake yalikuwa yameandikwa: “Mfalme wa Wayahudi.”+ Luka 23:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kulikuwa pia na maandishi haya juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”+ Yohana 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso.* Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+
19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso.* Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+