Mathayo 27:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake mashtaka dhidi yake, yalikuwa yameandikwa: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+ Marko 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na maandishi ya mashtaka dhidi yake yalikuwa yameandikwa: “Mfalme wa Wayahudi.”+ Luka 23:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kulikuwa pia na maandishi haya juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”+
37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake mashtaka dhidi yake, yalikuwa yameandikwa: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+