Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. 7 Basi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba alifufuliwa kutoka kwa wafu, na tazama! anawatangulia kwenda Galilaya.+ Mtamwona huko. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+

  • Marko 16:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Walipoingia ndani ya kaburi, wakaona mwanamume kijana akiwa ameketi upande wa kulia akiwa amevaa kanzu nyeupe, nao wakashtuka. 6 Akawaambia: “Msishtuke.+ Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyeuawa kwenye mti. Amefufuliwa.+ Hayupo hapa. Tazama, hapa ndipo walipomlaza.+ 7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake na Petro, ‘Yesu anawatangulia kwenda Galilaya.+ Mtamwona huko, kama vile alivyowaambia.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki