9 wakarudi kutoka kaburini, wakawaambia mambo hayo yote wale 11 na wengine wote.+ 10 Walikuwa Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama ya Yakobo. Pia, wanawake wengine waliokuwa pamoja nao waliwaambia mitume mambo hayo. 11 Hata hivyo, waliyaona maneno hayo kama upuuzi, nao hawakuwaamini wanawake hao.