2 Wakorintho 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Yehova* ni Roho,+ na mahali palipo na roho ya Yehova,* pana uhuru.+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina. Waebrania 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini hakuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yule asiyeonekana.+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.
27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini hakuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yule asiyeonekana.+