Yohana 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lazima tufanye kazi za Yule aliyenituma kukiwa bado mchana;+ usiku unakuja ambapo hakuna mtu atakayeweza kufanya kazi. Yohana 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.
4 Lazima tufanye kazi za Yule aliyenituma kukiwa bado mchana;+ usiku unakuja ambapo hakuna mtu atakayeweza kufanya kazi.
10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.