Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma+ na kuimaliza kazi yake.+ Yohana 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yesu akajibu: “Kuna saa 12 za mchana, sivyo?+ Yeyote akitembea mchana hatajikwaa, kwa sababu anaona mwangaza wa ulimwengu huu.
9 Yesu akajibu: “Kuna saa 12 za mchana, sivyo?+ Yeyote akitembea mchana hatajikwaa, kwa sababu anaona mwangaza wa ulimwengu huu.