Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+ Marko 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo,+ Yosefu, Yuda, na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Basi wakaanza kukwazika kwa sababu yake. Luka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, lakini hawakuweza kumfikia Yesu kwa sababu ya umati.+ Yohana 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi. Matendo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+ Wagalatia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini sikuwaona wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana.
46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+
3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo,+ Yosefu, Yuda, na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Basi wakaanza kukwazika kwa sababu yake.
12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.
14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+