Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+

  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo,+ Yosefu, Yuda, na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Basi wakaanza kukwazika kwa sababu yake.

  • Luka 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, lakini hawakuweza kumfikia Yesu kwa sababu ya umati.+

  • Yohana 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.

  • Matendo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+

  • Wagalatia 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini sikuwaona wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki