Mathayo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote,+ na hakuna mtu anayemjua Mwana kikamili isipokuwa Baba;+ wala hakuna anayemjua Baba kikamili isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+ Yohana 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kama Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba;+ na ninatoa uhai wangu* kwa ajili ya kondoo.+
27 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote,+ na hakuna mtu anayemjua Mwana kikamili isipokuwa Baba;+ wala hakuna anayemjua Baba kikamili isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+