Yohana 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Yesu alipokuwa akifundisha hekaluni akasema kwa sauti kubwa: “Ninyi mnanijua na pia mnajua nilikotoka. Nami sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini Yule aliyenituma ni halisi, nanyi hammjui.+ Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ Yohana 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nilikuja nikiwa mwakilishi wa Baba, nami nimekuja ulimwenguni. Sasa ninaondoka ulimwenguni, nami ninarudi kwa Baba.”+
28 Kisha Yesu alipokuwa akifundisha hekaluni akasema kwa sauti kubwa: “Ninyi mnanijua na pia mnajua nilikotoka. Nami sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini Yule aliyenituma ni halisi, nanyi hammjui.+
3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
28 Nilikuja nikiwa mwakilishi wa Baba, nami nimekuja ulimwenguni. Sasa ninaondoka ulimwenguni, nami ninarudi kwa Baba.”+