Luka 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini ofisa msimamizi wa sinagogi akakasirika kwa sababu Yesu aliponya siku ya Sabato, akauambia umati: “Kuna siku sita za kufanya kazi;+ basi, njooni mponywe katika siku hizo, bali si siku ya Sabato.”+ Yohana 5:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu akamwambia: “Simama! Chukua mkeka wako,* utembee.”+ 9 Mtu huyo akapona mara moja, akabeba mkeka wake* na kuanza kutembea. Hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
14 Lakini ofisa msimamizi wa sinagogi akakasirika kwa sababu Yesu aliponya siku ya Sabato, akauambia umati: “Kuna siku sita za kufanya kazi;+ basi, njooni mponywe katika siku hizo, bali si siku ya Sabato.”+
8 Yesu akamwambia: “Simama! Chukua mkeka wako,* utembee.”+ 9 Mtu huyo akapona mara moja, akabeba mkeka wake* na kuanza kutembea. Hiyo ilikuwa siku ya Sabato.