Yohana 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Wote anaonipa Baba watakuja kwangu, nami sitamfukuza kamwe yeyote anayekuja kwangu;+ Yohana 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hilo lilitimiza maneno aliyokuwa amesema: “Kati ya wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”+