35 Malaika akamjibu: “Roho takatifu itakuja juu yako,+ na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa hiyo yule atakayezaliwa ataitwa mtakatifu,+ Mwana wa Mungu.+
18 Basi Wayahudi wakazidi kutafuta njia ya kumuua, kwa sababu hakuwa tu akivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba yake,+ akijifanya kuwa sawa na Mungu.+