38 Lakini ikiwa ninazifanya, hata ingawa hamniamini mimi, basi iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano nami, nami niko katika muungano na Baba.”+
21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma.