Yohana 8:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Ninyi bado hamjamjua,+ lakini mimi ninamjua.+ Kama ningesema simjui, ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini mimi ninamjua, na ninalishika neno lake. Yohana 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui Yule aliyenituma.+
55 Ninyi bado hamjamjua,+ lakini mimi ninamjua.+ Kama ningesema simjui, ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini mimi ninamjua, na ninalishika neno lake.
21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui Yule aliyenituma.+