2 Wakorintho 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana nina wivu juu yenu, wivu wa kimungu,* kwa kuwa mimi binafsi niliwachumbia mume mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi* kwa Kristo.+ Waefeso 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+ Ufunuo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+
2 Kwa maana nina wivu juu yenu, wivu wa kimungu,* kwa kuwa mimi binafsi niliwachumbia mume mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi* kwa Kristo.+
25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+
9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+