Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.+ 1 Timotheo 2:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa.
12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.+
5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa.