5 Binti ya Farao aliposhuka kwenye Mto Nile ili kuoga, watumishi wake wa kike walikuwa wakitembeatembea kando ya Mto Nile. Binti ya Farao akaona kikapu hicho kati ya matete. Mara moja akamtuma kijakazi wake akilete.+
10 Mtoto huyo alipokuwa mkubwa kidogo, akamleta kwa binti ya Farao, naye akawa mwanawe.+ Akampa jina Musa* na kusema: “Ni kwa sababu nimemtoa katika maji.”+