Kutoka 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kwa siku sita mimi, Yehova, niliumba mbingu na dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo, nami nikaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu mimi Yehova niliibariki siku ya Sabato na kuifanya kuwa takatifu. Zaburi 146:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Muumba wa mbingu na dunia,Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye ambaye ni mwaminifu daima,+
11 Kwa maana kwa siku sita mimi, Yehova, niliumba mbingu na dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo, nami nikaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu mimi Yehova niliibariki siku ya Sabato na kuifanya kuwa takatifu.