24 Hata hivyo, sioni uhai wangu* kuwa muhimu kwangu,* mradi tu nimalize mwendo wangu+ na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.
10 Sikuzote katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu aliteseka,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu. 11 Kwa maana sikuzote sisi tunaoishi tunakabili kifo uso kwa uso+ kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu unaoweza kufa.