11 Kwa sababu ya mateso yake, ataona na kuridhika.
Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+
Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+
Na dhambi zao atazibeba.+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,
Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,
Kwa sababu aliumwaga uhai wake mpaka kifo+
Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+
Aliibeba dhambi ya watu wengi,+
Naye aliwatetea wakosaji.+