2 Wakorintho 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo+ na kutupatia huduma ya upatanisho,+ Waefeso 3:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hii ni kulingana na kusudi la milele alilofanyiza kuhusiana na Kristo,+ Yesu Bwana wetu, 12 ambaye kupitia kwake tuna uhuru huu wa kusema na uhuru wa kukaribia+ tukiwa na uhakika kupitia imani yetu kwake. Waebrania 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,
18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo+ na kutupatia huduma ya upatanisho,+
11 Hii ni kulingana na kusudi la milele alilofanyiza kuhusiana na Kristo,+ Yesu Bwana wetu, 12 ambaye kupitia kwake tuna uhuru huu wa kusema na uhuru wa kukaribia+ tukiwa na uhakika kupitia imani yetu kwake.
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,