-
Waebrania 4:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Kwa maana hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuusikitikia udhaifu wetu,+ bali tuna yule ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama tulivyojaribiwa, lakini hakutenda dhambi.+ 16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.*
-