Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa hata zaidi kwa uhai wake, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.

  • Waefeso 2:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani, 16 na kuvipatanisha kikamili vile vikundi viwili vya watu katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,*+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kupitia yeye mwenyewe.

  • Wakolosai 1:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa sababu Mungu alipenda ujazo wote ukae ndani yake,+ 20 na kupitia yeye apatanishe kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,* iwe ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki